Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano
wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.) akifungua rasmi Mkutano wa
Tume ya Pamoja ya Kudumu ya Ushirikiano (Joint Permanent Commission-JPC)
kati ya Tanzania na India unaofanyika katika Hoteli ya Hyatt
Regency-Kilimanjaro kuanzia tarehe 08 hadi 09 2013. Mkutano huo
unaowashirikisha Wadau kutoka sekta mbalimbali za hapa nchini na India
utajadili pamoja na mambo mengine masuala ya ushirikiano katika sekta za
Uchumi, Ufundi, Sayansi na Teknolojia, Elimu, Afya, Utalii, Kilimo na
Nishati na Madini.
Rais Samia apokea Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali
(CAG) na Taarifa ya Utendaji Kazi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na
Rushwa (TAKUKURU) leo
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipokea
Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa mwaka
2022/2...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment