Matukio :Mhe. Bernard Membe Afungua Mkutano wa Tume ya Ushirikiano kati ya India na Tanzania - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


10 Jul 2013

Matukio :Mhe. Bernard Membe Afungua Mkutano wa Tume ya Ushirikiano kati ya India na Tanzania

 Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.) akifungua rasmi Mkutano wa Tume ya Pamoja ya Kudumu ya Ushirikiano (Joint Permanent Commission-JPC) kati ya Tanzania na India unaofanyika katika Hoteli ya Hyatt Regency-Kilimanjaro kuanzia tarehe 08 hadi 09 2013. Mkutano huo unaowashirikisha Wadau kutoka sekta mbalimbali za hapa nchini na India utajadili pamoja na mambo mengine masuala ya ushirikiano katika sekta za Uchumi, Ufundi, Sayansi na Teknolojia, Elimu, Afya, Utalii, Kilimo na Nishati na Madini.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad