MHE. PINDA AFUNGUA MKUTANO WA MADC, MARC NA MARAS BUNGENI MJINI DODOMA - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


24 Jun 2013

MHE. PINDA AFUNGUA MKUTANO WA MADC, MARC NA MARAS BUNGENI MJINI DODOMA

IMG_0030Baadhi ya Wakuu wa Mikoa wakinukuu maelekezo ya Waziri Mkuu, Mizengo Pinda wakati alipofungua  Mafunzo  ya Kujenga Uwezo kwa Wakuu wa Wilaya , Makatibu Tawala wa Mikoa na Wakuu wa Mikoa kwenye ukumbi wa Hoteli ya New Dodoma mjini Dodoma  Juni 24,2013. IMG_0037Baadhi ya Wakuu wa  Wilaya wakimsikiliza  Waziri Mkuu, Mizengo Pinda wakati alipofungua  Mafunzo  ya Kujenga Uwezo kwa Wakuu wa Wilaya , Makatibu Tawala wa Mikoa na Wakuu wa Mikoa kwenye ukumbi wa Hoteli ya New Dodoma mjini Dodoma  Juni 24,2013. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
IMG_0050Waziri Mkuu MizengoPinda akihutubia wakati alipofungua  Mafunzo  ya Kujenga Uwezo kwa Wakuu wa Wilaya , Makatibu Tawala wa Mikoa na Wakuu wa Mikoa kwenye ukumbi wa Hoteli ya New Dodoma mjini Dodoma. IMG_0055Waziri Mkuu MizengoPinda akihutubia wakati alipofungua  Mafunzo  ya Kujenga Uwezo kwa Wakuu wa Wilaya , Makatibu Tawala wa Mikoa na Wakuu wa Mikoa kwenye ukumbi wa Hoteli ya New Dodoma mjini Dodoma. IMG_0118Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Mbunge wa mkuranga na  Waziri wa Kilimo na Ushirika, Adam Malima, Bungeni mjini Dodoma. IMG_0143Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na wabunge, Bungeni Mjini Dodoma. IMG_0149Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akiteta na Wabunge Mary Chatanda wa Viti Maalum (kushoto)  na  Mbunge wa Sumbawanga, Aeshi Hillaly kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma. IMG_0150Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akiteta na Wabunge Mary Chatanda wa Viti Maalum (kushoo)  na  Mbunge wa Sumbawanga, Aeshi Hillaly kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma. IMG_0161Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akiteta na Mbunge wa Musoma Mjini, Vincent Nyerere (kushoto) na Mbunge wa Sumbawanga, Aeshi  Hillaly kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Juni 24, 2013.
IMG_0164Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akiteta na Mbunge wa Musoma Mjini, Vincent Nyerere (kushoto)  kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma. IMG_0177Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Mbunge wa Sumbawanga, Aeshi  Hillaly kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Juni 24, 2013. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad