Mkuu
wa Kitengo Cha Ukaguzi wa Mikataba katika Ofisi ya Waziri Mkuu Bw.
Steven H. Issack alipotembelea banda la wizara ya fedha kutaka kupata
ufafanuzi juu ya uanzishwaji wa mikopo kwa watumishi wa umma kutoka kwa
Mhasibu Mkuu wa Serikali, kutoka kushoto ni Mkuu wa Kitengo cha Mikopo
Bi. Christine Ngonyani na kulia ni Bi. Miriam Mnzava Nchini Ghana. Mkuu
wa Kitengo cha Mikopo wa Wizara ya Fedha kutoka kwa Mhasibu Mkuu wa
Serikali Bi. Christine akiwaeleza wananchi wa Ghana jinsi idara ya
Mhasibu Mkuu wa Serikali inavyosaidia Watumishi wa Umma katika kupata
Mikopo. Mkuu
wa Kitengo cha Mikopo wa Wizara ya Fedha kutoka kwa Mhasibu Mkuu wa
Serikali Bi. Christine akiwaeleza wananchi wa Ghana jinsi idara ya
Mhasibu Mkuu wa Serikali inavyosaidia Watumishi wa Umma katika kupata
Mikopo.Na fullshangweblog.com
TANTRADE YASHIRIKIANA NA WIZARA YA MAMBO YA NJE KUTOA MAFUNZO YA UUZAJI
BIDHAA, UINGEREZA.
-
Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TANTARADE) kwa kushirikiana na
Wizara ya Mambo ya Nje na Wizara ya Viwanda na Biashara Imeratibu Semina ya
Waf...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment