TAASISI YA MBUNGE CATHERINE MAGIGE YATOA MSAADA KWA WALEMAVU - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


30 Nov 2012

TAASISI YA MBUNGE CATHERINE MAGIGE YATOA MSAADA KWA WALEMAVU


 
Mbunge wa viti maalum Bi. Catherine Magige akisoma taarifa ya Foundation yake ilivyoanza kazi, mbele ya mgeni rasmi mkuu wa wilaya na wananchi waliohudhuria uzinduzi wa Catherine Foundation kwenye ofisi ya mkuu wa wilaya ya Arusha leo Asubuhi.
 Mbunge wa viti maalum, Catherine Magige (katikati) akiwa na Mkuu wa Wilaya ya Arusha Mjini John Mongela na wageni wengine.
 Mkuu wa wilaya ya Arusha John Mongela akiwa na mbunge wa viti maalum bi Catherine Magige wakiwa wanawakabidhi zawadi ya baiskeli walemavu watatu kwa niaaba ya walemavu 20 walipewa zawadi hizo
 Mbunge wa viti maalum, Catherine Magige wakiwa wanawakabidhi zawadi ya baiskeli walemavu watatu kwa niaaba ya walemavu 20
Mkuu wa wilaya ya Arusha John Mongela akifanya mahojiano na vyombo vya habari mara baada ya kukamilika zoezi hilo. Picha na Mahmoud Ahma. 

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad