MWANACHUO CHA TUMAINI (MAKUMIRA KAMPASI) APATA NONDOZZ NA UCHUMBA PAPO HAPO LEO. - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


17 Nov 2012

MWANACHUO CHA TUMAINI (MAKUMIRA KAMPASI) APATA NONDOZZ NA UCHUMBA PAPO HAPO LEO.


Mandhari mazuri ya chuo cha TUMAINI (MAKUMIRA KAMPASI )ARUSHA


Muda wa chakula sasa ambamo sherehe ilifanyika  nyumbani kwao Teddy Mhindi aliehitimu Degree yake ya kwanza pamoja na Collins Peter rafiki yake 
Karibuni tule jamani...huyu ndie binti (Teresia Mhindi) kushoto aliepata degree yake na mchumba 
Baba yake Teddy ambae nae alipata Master katika mahafali hayo na mwenzie kutoka kushoto pamoja na wageni waaalikwa.
Kula kwa kwenda mbele....
Collins Peter akitoa shukrani zake kwenye sherehe hiyo...
KEKI NAYO ILIKUWEPO
KATA KEKI TULE....KAT KEKI TULEE......
Hongera Mhitimu mwenzangu eeh....
Baba njoo ule keki jamani....Nakupenda wewe..
Kula mama yangu kipenzi...
Kula mchungaji wangu mlezi ..Pastor Anna Apolinary
Ahsante kwa zawadi ...Mlezi wangu ....
Baada ya dakika chache pata eleweka tu.....
Nimesha badili sasa....huu ni muda wa UCHUMBAA.....KAENI KIMYA...!!!
MCHUMBA WANGU HUYU HAPA SASA....DEGREE + MCHUMBA ...MAISHA YANAENDELEA MBELE...
PETE HIYO.... kutoka kwa mchumba wangu Yona Kivuyo......usipime hiyo....???
Maombi sasa ili hiyo pete ibarikiwe na iwe Ndoa hapo baadae...
SHUKRANI TOKA KWA BABA YANGU....
Maombi ya Kufunga.....
Mikonozzzzzz KUTOKA KWA......COLLINS PETER

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad