MAJAMBAZI WATATU WAUWAWA JIJINI ARUSHA: Kutoka Ofisi ya Kamanda wa Polisi Arusha - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


23 Nov 2012

MAJAMBAZI WATATU WAUWAWA JIJINI ARUSHA: Kutoka Ofisi ya Kamanda wa Polisi Arusha



  Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha kamishna Msaidizi wa Polisi Liberatus Sabas akionyesha bunduki zilizokutwa kwenye begi la watu watano wanaosadikiwa kuwa ni majambazi ambapo watatu kati yao walijeruhiwa kwa risasi na askari wa jeshi la Polisi na kisha kufariki dunia wakiwa wanapelekwa hospitali.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha Kamishna Msaidizi wa Polisi Liberatus Sabas akionyesha kitako cha bunduki aina ya Riffle iliyokutwa kwenye begi la watu watano wanaosadikiwa kuwa ni majambazi. Watatu kati yao walijeruhiwa kwa risasi na askari wa jeshi la polisi na kisha kufariki dunia.
 Kamanda wa polisi Mkoa wa Arusha kamishna Msaidizi wa Polisi Liberatus Sabas, akionyesha sare za Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) ambazo zilikutwa  kwenye begi la watu watano ambao wanasadikiwa kuwa ni majambazi .Tukio hilo lilitokea katika eneo la Olmatejoo jijini Arusha.Picha na Mahmoud Ahmad-Arusha

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad